• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Ofisi |
    • Malalamiko |
Dodoma Region
Dodoma Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Taasisi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Msaada
      • TEHAMA
      • Huduma za Sheria
  • Wilaya
    • Bahi
    • Chamwino
    • Kongwa
    • Mpwapwa
    • Kondoa
    • Dodoma Mjini
    • Chemba
  • Mamlaka za Serikali za mitaa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chemba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa
    • Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa
    • Halmashauri ya Mji Kondoa
    • The City Council of Dodoma (CCD)
  • Uwekezaji
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

UJUMBE WA MAJESHI KUTOKA AFRIKA MASHARIKI NA SADC WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA DODOMA

Imetumwa : October 14th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana leo Oktoba 14, 2017 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa maafisa wa kijeshi 32 kutoka Majeshi ya nchi mbalimbali za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ambao wapo hapa nchini kuhudhuria mafunzo ya ukamanda na unadhimu kwenye chuo cha ukamanda na unadhimu cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichopo Duluti Mkoani Arusha.

Ujumbe huo uliojumuisha maafisa kutoka Majeshi ya Ulinzi ya nchi za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Zimbabwe na wenyeji Tanzania, ulitembelea Mkoa wa Dodoma Makao Makuu ya nchi kujionea na kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu uchumi, Mazingira, Ulinzi, Usalama na maendeleo kwa ujumla.

Katika Mazungumzo yao, Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Rugimbana amewataka maafisa hao wa Majeshi kudumisha Umoja, Ushirikiano na Mshikamano baina ya nchi za Afrika, Tunu ambazo zililetwa na Waasisi wa Mataifa ya Afrika. Pia aliwataka Maafisa hao wa Majeshi kuendelea kuwa Wazalendo kwa kuzilinda nchi zao ili Afrika izidi kupiga hatua za maendeleo katika Nyanja mbalimbali.

Ujumbe huo ulipongeza uamuzi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa kuihamishia Serikali Mkoani Dodoma na kusema kuwa kijiografia Dodoma kuwa katikati ya nchi kunaiwezesha Serikali kuwahudumia Watanzania kwa urahisi zaidi na hata kupelekea urahisi wa Watanzania kutoka Mikoa yote kufuata huduma mbalimbali za kiserikali Dodoma.

Luteni Kanali Katebe kutoka Zambia alimwelezea Mkuu wa Mkoa kuwa uamuzi wa Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa kuihamishia Serikali Mkoani Dodoma wao wanautazama kama moja ya mambo yatakayoongeza fursa kubwa za kiuchumi na kuchochea maendeleo kwenye ukanda mzima wa kati wa nchi ya Tanzania.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA YA DARASA LA NNE (SFNA) 2020 January 15, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC DKT. MAHENGE ARIDHISHWA NA UJENZI WA VITUO VYA AFYA VYA MTERA NA CHIPOGORO WILAYANI MPWAPWA, AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTEKELEZA AHADI YA KUJENGA KITUO CHA AFYA CHA MTERA

    September 09, 2020
  • SERIKALI YAANZA UJENZI WA DARAJA LA CHIPOGORO BARABARA YA DODOMA IRINGA KWA GHARAMA YA SHILINGI MILIONI 601

    September 09, 2020
  • RUSHWA YA NGONO KWENYE VYUO VIKUU/ELIMU YA JUU NI HATARI KWA MSTAKABALI WA MAENDELEO YA KWELI YA NCHI

    June 21, 2020
  • HOSPITALI YA CHUO KIKUU CHA DODOMA KUANZA KUTOA MATIBABU YA CORONA, UDOM KUANZA KUZALISHA VITAKASA MIKONO NA BARAKOA

    April 23, 2020
  • Tazama Zote

Video

RC DOM AUPATIA MWAROBAINI MGOGORO WA ARDHI CHANG'OMBE MTAKUJA MJI MWEMA
Video Nyinginezo

Kurasa za Karibu

  • Speeches
  • mission and vision
  • Photo Gallery
  • Videos
  • Press Releases
  • Organization Structure
  • Reports
  • Client Service Charter
  • Acts

Tovuti Muhimu

  • PO-RALG
  • Public Service Management
  • Parliament of Tanzania
  • UDOM
  • Government Portal
  • Prime Minister's Office Website

World Visitors Tracker

world map hits counter

Rejesta ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Jengo la Mkapa (Mkapa House) Barabara ya Hospitali ya Mkoa

    Anuani ya Posta: 914 DODOMA

    Simu: +255 26 232 4343/232

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@dodoma.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya eneo

Hakimiliki©2016 GWF . Haki zote zimehifadhiwa.